Wednesday, March 23, 2011

SERENA LODGE ....







HAPPY BIRTHDAY YA KUZALIWA REUBEN NDEGE

Leo ni siku ya kuadhimisha miaka kaadha ya kuzaliwa kwake Reuben Ndege wa Clouds Media Group, Wengi wakimtambua kama Nchakali aka Mzeeeyaa!! anayesomeka mwanzo mwisho ndani ya program lenye fuul ditelZ za Mastaa, Muziki na wanamuziki duniani Soso Fresh, at the same time ndiye anayeng'arisha kipindi cha kijanja ndani ya clouds radio XXL katika segment ya 255.

Blogu hii inaomba mkono wa baraka toka kwa Mwenyezi Mungu kwa kila kilicho chema ukigusacho.