Saturday, February 16, 2013

SHUHUDIA MING'ARO YA PICHA ZA VALLENTINE VILLA PARK

Mmoja kati ya waimbaji wa kundi la Jahazi Morden Taarab akiwa juu ya stage la Villa Park kwa ajili ya uzinduzi rasmi wa Usiku wa Mwambao sambamba na kusherehekea sikukuu ya wapendanao duniani.


Mwanadada aliyependeza usiku huo alizawadiwa mizawadi toka kinywaji cha Reds.

Flowerz mwingine huyu alizawadiwa full seti ya Reds huku kushoto kabisa Mc Magoma akimeneji vinavyojiri.

Best couples  zilizo shine nazo zilitoka na mizawadi kibao toka Reds.

You cant c' Me

Hivi ndivy Papaa alitokelezea na mkewe katika usiku wa wapendanao Villa Park Mwanza.

Kwa kunyakuwa nafasi ya tatu Papaa alipata zawadi toka home Shoping Centre. 

Hawa ni washindi wa pili kwa Couples zilizopendeza nao walipata zawadi ya kulala Hotel JB Belamounte. 

Mc Magoma akitambulisha washindi nafasi ya kwanza kwa Couple zilizotokelezea usiku wa Vallentine Villa Park.

Washindi wa kwanza niiiiiiii........

Mwaaaaaa....!!!!! Hawa ndiyo washindi wa kwanza, nao walijipatia tiketi kwenda na kurudi dar kwa siku wanayotaka toka Precision Air.

Ni Mc Magoma (kushoto) na Dj John Lyatou (kulia) na nyuma yao Jahazi Morden Taarab. 

Hapa kila mmoja aliondoka na zawadi katika usiku wa wapendanao Villa Park  ukiambatana na uzinduzi wa Usiku wa Mwambao mara baada ya ukarabati mkubwa kufanyika

Hivi ndivyo rangi za hapa zilivyo someka toka dansing floo..

Guitalist.....

Ze eria...at Villa.

Live toka stejini.
We...

Mwanza nzima ilihamia hapa.