Monday, September 30, 2013

PICHA NYINGINE TENA ZA FIESTA 2013 MWANZA

Mtasema sana hapa ni Nature na Chege..
Snura na colaz wake...CCM Kirumba Mwanza.
Duh..!! ona Majanga...

Moja kati ya vipaji vya Supa Nyota Mwanza vikichuana jukwaani..

Kutoka Weusi ni Niki wa Pili.


Flowerz zilitanda...


Watu walitokelezea...


Peace...


Shadee, Dj Fetty na Helen wa Club Fusion.

Another pic..


Yeeeah.


Producer Q The Don (pale kati) na kampani yake.
Wooo...


Amani aka peace ndivyo wanavyoashiria majombaa...