Tuesday, November 26, 2013

BIRTHDAY PART ILIYOVUNJA REKODI KUWA NA MAHUDHURIO MAKUBWA KULIKO ZOTE NCHINI YAFANYIKA MWANZA

Ni Birthday party ya mfanyabiashara mdogo Edward aliyetimiza umri wa miaka 27 akiwa ameketi na mama yake mzazi kwenye meza kuu. 
Sherehe hii ilihudhuriwa na watu 500 wakiwa waalikwa ambao walikuwa na kadi, wakapata chakula na vinywaji vya kujichagulia usiku huo, pamoja na wahudhuriaji wengine takribani 6,500 ambao walizamia shughuli hiyo bila mwaliko kutokana na eneo la tukio kuzungushiwa utepe kama uzio bila kuwa na kamati ya ulinzi wala mlinzi.
Lango la kuingilia ambapo kulikuwa na zuria jekundu (red carpet) ambapo ilikuwa ni fursa kupiga picha kwaajili ya kumbukumbu ya kuzaliwa Edward.
Shughuli ilifanyika katika moja ya viwanja vya shule ya msingi eneo la Igoma kukafungwa bonge la sound la mtikisiko, taa za uhakika na mapambo yenye ubunifu wa kila aina ambapo inatajwa wapambaji watatu maarufu jijini Mwanza walikula tenda kunakshi eneo husika. 
'Tumbuizo kali' Ya kwanza ilikuwa ni kutoka kwa msanii wa Bongo fleva Tunda Man ambaye alidrop jioni kwa pipa' hapa Rock City kwaajili ya shughuli moja tu... burudani 
Watu walivunja makabati kwani walipendeza haswaaa hadi wale walokuwa wazamiaji..
Ni kundi alikwa toka nyumbani Mwanza na mambo ya 'Azonto' 
Amini usiamini...Sherehe iliongozwa na kamati ya mtu mmoja tu! (pichani) ambaye ndiye alisimama kama Mwenyekiti wa kamati, mtunza fedha, mwenyekiti kamati ya ulinzi, mwenyekiti kamati ya Chakula, mwenyekiti wa kamati ya Vinywaji na sekta zote muhimu uzijuazo...balaaa.
Wageni waalikwa na vijiti midomoni ikimaanisha wamekula wakashiba na vinywaji tele mezani....
Safiiiiiiii..
Kuhusu mazazi ilikuwa ni full kulipuka uwezavyo. 
Burudani.
Jamaa alikamua Hip hop ragga ya hatari akichagizwa na madensa wake waliokuwa wakicheza kwa style ya tofauti kabisaaaa....
De nyu style...
'Tunakukubali' ni kama kauli ya mashabiki ...shereheni.
Starehe gharama...

Mzuka..!



Mwaga radhi...
Another Mc was Mr. Blue...Yooo...!
Mc mkali ngoma kali.....!
Hapo vije?...
Hatareee...!
minato ya Blue.
Mpala kuleeeee.....
Ze nyomi na area ya birthday ambapo ngoma ilikwenda mpaka saa tisa usiku mnene.

Monday, November 4, 2013

BORN FIRE YA PILSNER LAGER KING OF BOLD CHUO CHA SAUT NOMA SANA...!!!

Fundo...agudu..agudu...!!
Roma Mkatoliki alikinukisha ile ile kwenye Tamasha la born fire chini chini ya Udhamini mnono wa Serengeti Breweries kupitia kinywaji chake cha Pilsner Lager King of Bold, tamasha likifanyika viwanja vya Raila Odinga chuo cha SAUT Nyegezi jijini Mwanza.
Burudani inapokolea....
Hisia za Roma.
Hip hop...!!!
Moo Music ni moja kati ya wakali wa Mwanza aliye wachengua Wanasaut kinoma noma.
Kassim Mganga naye alizuka ndani ya Tamasha la Born Fire lililonuia kuwakaribisha wanachuo mwaka wa kwanza wa vyuo mbalimbali nchini.
aaaaah saa mingi umepanda...!!!
Jambo Squard walifunika mbayaaa viwanja vya Raila Odinga Chuo cha SAUT jijini Mwanza. 
Jambo Squard wakilishambulia jukwaa pamoko.
"Ah kacha..kacha..kacha twanasa kumbukumbu"
"Mamong'o manjeree machalii ya R....aaah ... ah"
Ilichezeshwa droo kwa wanachuo walio shiriki kujiandikisha Member wa Born Fire mshindi akaibuka na ......
Huyu ndiye mshindi wetu akikabidhiwa zawadi yake na wadhamini Serengeti Breweries kupitia Pilsner Lager.
Eh bana si ndiyo hiiii......!!!
Chama choma zilikuwa za kutosha tena za ujazo imagine mshkaki mmoja mzito shilingi 500/= tu walichinga ng'ombe wawili.
Dj is doing his thing...!!
SAUT reprezenhe..'
Burudani ya wanavyuo na Hip hop.
Vipaji vya wanavyuona levo za 'udosini'
Mahaba ya kidosi.
Battle ya ma mc ambapo mwisho wa siku jamaa aliyesimama kulia ndiye aliyeibuka kuwa mshindi. 
The Nyomi ya SAUT na Born Fire Concert.
Kitu cha Pilsner.
Show love kwa blogu.
Hip hop thing.
The area.
Party dizain flani.
Born Fire hakuna baridah!
The crew ya Serengeti Breweries na wadau wake wakishuhudia moto mkubwa uliowashwa ukimaanisha kukaribisha wanachuo mwaka wa kwanza.
The Born Fire.