Friday, December 2, 2011

MIAKA 12 YA KUZALIWA KWA CLOUDS FM RADIO YA WATU KIBAO...................................!

Bwiga wa Mbwiga na Timu ya Sports X-Tra akipata kipande cha keki huku akishuhudiwa na na Ephraim Kibonde, Edo Kumwembe na Shaffi Dauda.

Kutoka kushoto Kibonde, Edo Kumwembe, Shaffi Dauda, Mbwiga, Alex luambano, Joff Lea na Abdul Mohamed.

Kipindi cha XXL nacho kilijitanua mida yake kutoka shoto ni B.12, Bobb Jurnior, Madee na Dj Fetty.

Adam Mchomvu aka 'Baba JONIii' (R) akijitanua na Maunda Zoro (kati) naye Mwalimu wa Waalimu Banza Stone.

THE CREW wakipata flash.

Leo Tena si ndiyo hawa Gea Habib(L), Dina Marious(C) na Husna Abdul(R).

"Amka kumekuchaaaa" PJ(L), Babra Hassan(C) na Bonge(R).

Shughuli ilianzia asubuhi katika kipindi cha Power breakfast na Hapa PB ilikuwa ikiisha na wakatukaribisha timu leo tena.

No comments:

Post a Comment