Tuesday, December 13, 2011

HAPPY BIRHTDAY FATMA SHEMWETA WA STAR TV

Huu ndiyo Mkate wa nakshi ya sukari wa Fatma Shemweta katika sherehe ya siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika ukumbi wa VIP The New Stone Club Mwanza.

Fatma na Husna.

Mtangazaji wa Star Tv Fatma Shemweta (R) na shosti wake The Platnum (L).

ZE MilipukozZZZz!!

ChiazZZZzzz!!!

Kitu cha Dance' pale kati.

Kutoshea idadi keki ilikatwa 'mapande makumi mawili na saba'.

Fatma akilishwa keki na Beste'.


To the Mc.

Tamu ya mkate wa sukari.

www.gsengo.blogspot.com

Meneja wa The New Stone Club, Dj Ally Coco naye alionja utamu wa keki.

Keki kwa dada.

The Big Top Ten akilishwa keki.

Platinum na shukurani kwa mtoto.

Mtoto akipokea zawadi spesheli.

Mtu muhimu sana' Mr Kaiza naye alijumuika vyema tena sana.

Mc wa shughuli alikuwa na mikogo kinomanoma, na hili ndilo pozi la kukabidhi mzigo.

The Crew na Sahara Communication.

Safu ya mashosti...

No comments:

Post a Comment