Showing posts with label bango. Show all posts
Showing posts with label bango. Show all posts

Tuesday, December 13, 2011

HAPPY BIRHTDAY FATMA SHEMWETA WA STAR TV

Huu ndiyo Mkate wa nakshi ya sukari wa Fatma Shemweta katika sherehe ya siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika ukumbi wa VIP The New Stone Club Mwanza.

Fatma na Husna.

Mtangazaji wa Star Tv Fatma Shemweta (R) na shosti wake The Platnum (L).

ZE MilipukozZZZz!!

ChiazZZZzzz!!!

Kitu cha Dance' pale kati.

Kutoshea idadi keki ilikatwa 'mapande makumi mawili na saba'.

Fatma akilishwa keki na Beste'.


To the Mc.

Tamu ya mkate wa sukari.

www.gsengo.blogspot.com

Meneja wa The New Stone Club, Dj Ally Coco naye alionja utamu wa keki.

Keki kwa dada.

The Big Top Ten akilishwa keki.

Platinum na shukurani kwa mtoto.

Mtoto akipokea zawadi spesheli.

Mtu muhimu sana' Mr Kaiza naye alijumuika vyema tena sana.

Mc wa shughuli alikuwa na mikogo kinomanoma, na hili ndilo pozi la kukabidhi mzigo.

The Crew na Sahara Communication.

Safu ya mashosti...

Monday, October 24, 2011

Mh Naibu Balozi Wa Uingereza Amvisha Pete Mchumba Wake

Mr Chabaka akitoa pete
PETE ambayo ni Diamond ya Ukweli
Wachumba wakiwa na baadhi ya marafiki zao na familia
Wapenzi wakiwashukuru wageni waalikwa.
Ni sherehe fupi ya kuvalishana pete ya Uchumba iliyofanyika Jumamosi Tarehe 22 Oktoba 2011 kati ya Naibu Balozi wetu Mh.Chabaka na Bi Irene. Sherehe hii ilihudhuriwa na baadhi ya ndugu pamoja na marafiki wa karibu waliojumuika kwa pamoja kushuhudia tukio hili muhimu katika safari yao ya kuelekea kwenye ndoa.

Vazi alilovaa Bi Irene limebuniwa na kutengenezwa ramsi na Anna Lukindo. Tarehe na pamoja taratibu zote za harusi zitatolewa rasmi muda muafaka utakapowadia.

Hivyo basi Blogu hii pamoja na Urban Pulse Creative na Miss Jestina George tunapenda kuwapa hongera na fanaka katika penzi lao na maisha yao ya baadae, Mungu Awabariki.

Wednesday, July 6, 2011

THE BEAT FESTIVAL

FRI 8TH JULY - 20.00 - 00.00

Venue: Triniti - Msasani rd. 26, Oysterbay, Dar es Salaam, Tanzania.

Wednesday, March 23, 2011

SERENA LODGE ....







HAPPY BIRTHDAY YA KUZALIWA REUBEN NDEGE

Leo ni siku ya kuadhimisha miaka kaadha ya kuzaliwa kwake Reuben Ndege wa Clouds Media Group, Wengi wakimtambua kama Nchakali aka Mzeeeyaa!! anayesomeka mwanzo mwisho ndani ya program lenye fuul ditelZ za Mastaa, Muziki na wanamuziki duniani Soso Fresh, at the same time ndiye anayeng'arisha kipindi cha kijanja ndani ya clouds radio XXL katika segment ya 255.

Blogu hii inaomba mkono wa baraka toka kwa Mwenyezi Mungu kwa kila kilicho chema ukigusacho.