Tuesday, October 22, 2013

REDD'S UNI-FASHION BASH JIJINI MWANZA ILIKUWA RAHA TUPU.

Full Ubunifu toka kwa wanavyuo washiriki.
Wowu...!!!
Kama mamtoni vile..!!
African thing...!! 
Kaba penati...!!
Wadau mbalimbali waliohudhuria Tamasha hilo wakifuatilia kwa umakini..
Burudani ilidondoshwa na Ngosha The Swagga Don Fid Q.
On the one and two alisimama DVJ Denis' wa Rock Bottom.
 Meneja wa Mauzo ya Rejareja wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda la Ziwa, Andrew Mbwambo (kulia) akikabidhi kitita cha Sh. Laki 5 kwa Mshindi wa Kwanza wa Mitindo kwenye Redd's Uni-Fashion Bash,Fahad Rajab (kutoka Chuo cha Mt. Augustine ya jijini Mwanza) baada ya kuwagaragaza wenzake, katika Tamasha lililofanyika kwenye Bustani ya Charcoal Ribs Beach Resort jijini,Mwanza.
Washindi wa Mitindo kwenye Redd's Uni-Fashion Bash, na mikwanja yao katika Tamasha lililofanyika kwenye Bustani ya Charcoal Ribs Beach Resort jijini, Mwanza.
Wadau mbalimbali waliohudhuria Tamasha hilo lililofanyika kwenye Bustani ya Charcoal Ribs Beach Resort jijini,Mwanza.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

No comments:

Post a Comment