Monday, July 6, 2015

MBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEMVU ATOWA MISAADA KWA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM DAR ES SALAAM

Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu
 Baadhi ya misaada mbalimbali  iliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu kwa watu wenye mahitaji maalum.


mwenyekiti wa Taasisi ya Sitti Tanzania Foundation , Sitti Mtemvu  akizungumza na walezi wa watu wenye mahitaji maalum, wakati Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu  alipokabidhi misaada ya vitu mbalimbali, vikiwemo vyakula, mafuta ya kula, magodoro na kompyuta ambapo jumla ya vikundi kumi na vitatu vimepatiwa misaada mbalimbali na mbunge huyo.
 Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu  akizungumza na walezi wa watu wenye mahitaji maalum, wakati alipokabidhi misaada ya vitu mbalimbali, vikiwemo vyakula, mafuta ya kula, magodoro na kompyuta ambapo jumla ya vikundi kumi na vitatu vimepatiwa misaada mbalimbali na mbunge huyo.
Baadhi ya vitu vilivyo tolewa na  Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu kwa watu wenye mahitaji maalum
Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu akikabidhi misaada kwa Mlezi wa kituo cha Makao ya Taifa ya watoto wenye shida maalum cha kurasini  Beatrice Mgumilo



 Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (aliye vaa koti) akipiga makofi baada ya walezi wa vituo mbalimbali  kuomba Yamoto Band waimbe nyimbo moja
Mkurugenzi wa Mkubwa na Wanawe (Yamoto Band) akimshukuru Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu
Mbunge wa Jimbo la Temeke na Kamanda wa Vijana Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu ametoa msaada wa vitu mbalimbali vya nafaka na magodoro pamoja na kompyuta kwa Yamoto Band ambapo jumla ya vikundi kumi na vitatu vimepatiwa misaada mbalimbali na mbunge huyo





Yamoto Band katika  Picha ya pamoja na baadhi ya Watoto wenye mahitaji maalum

Yamoto Band wakisalimia wazazi na watoto wenye mahitaji maalum
PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA

Sunday, July 5, 2015

KAMATI MAALUM YA CCM ZANZIBAR YAPITISHA JINA LA DKT. SHEIN KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 2015.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, ambaye pia ni  Mjumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, akisalimiana na Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Makamu  Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Mohamed Ali Shein, wakati walipowasili kwenye Ukumbi wa Ofisi za CCM Kisiwandui mjini Zanzibar kwa ajili ya kuhudhuria katika kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, ambacho leo kilipitisha jina la Dkt. Shein kuwania nafasi ya Urais kwa tiketi ya CCM. Picha na OMR
Makamu  Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Mohamed Ali Shein, akizungumza na Wajumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar (hawapo pichani) wakati wa kikao cha Kamati Maalum ya CCM kilichofanyika leo Julai 5, 2015 kwenye Ukumbi wa Ofisi za CCM Kisiwandui mjini Zanzibar kwa ajili ya kujadili na kupitisha jina la Mgombea Urais wa Zanziba kwa Tiketi ya CCM. (katikati) ni Mjumbe wa Kamati hiyo, ambaye aliongoza kikao baada ya kuteuliwa kuwa Kaimu Mwenyekiti, Dkt.Mohammed Gharib Bilal na Mjumbe, Balozi Iddi. Picha na OMR
Kiti cha Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Mohamed Shein, kikiwa wazi baada ya kukabidhi madaraka kwa wajumbe ili kujadili na kuteua jina la mgombea Urais wakati wa Kikao Maalum cha CCM, leo. Picha na OMR
Kaimu Mwenyekiti wa CCM, Dkt.Mohammed Gharib Bilal, akiendesha Kikao hicho maalum cha Kamati Maalum, baada ya kuteuliwa na Wajumbe wa Kamati hiyo. Kushoto) ni Balozi Seif Iddi. Picha na OMR
 Dkt.Bilal na Balozi Iddi,wakifurahia baada ya Wajumbe kupitisha Jina la mgombea.

Mjumbe, Dkt.Bilal, akimpongeza Dkt. Shein baada ya jina lake kupitishwa na wajumbe katika Kikao cha Kamati Maalum ili kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vuai Ali. Picha na OMR
Mjumbe, Dkt.Bilal, akimpongeza Dkt. Shein baada ya jina lake kupitishwa na wajumbe katika Kikao cha Kamati Maalum ili kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vuai Ali. Picha na OMR
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt.  Ali Mohammed Shein, akizungumza na Wajumbe wa Kikao cha Kamati Malum, akiwashukuru baada ya jina lake kupitishwa na wajumbe hao kugombea Urais wa Zanzibar, katika Kikao kilichofanyika leo Julai 5, 2015 kwenye Ofisi za CCM Kisiwandui mjini Zanzibar. Picha na OMR
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt.  Ali Mohammed Shein, akizungumza na Wajumbe wa Kikao cha Kamati Malum, akiwashukuru baada ya jina lake kupitishwa na wajumbe hao kugombea Urais wa Zanzibar, katika Kikao kilichofanyika leo Julai 5, 2015 kwenye Ofisi za CCM Kisiwandui mjini Zanzibar. Picha na OMR
Wajumbe walioshiriki katika Kikao hicho.
Wajumbe walioshiriki katika Kikao hicho.
Wajumbe walioshiriki katika Kikao hicho.
Picha ya pamoja baada ya kikao hicho.
Picha ya pamoja baada ya kikao hicho.

Saturday, February 28, 2015

PUNGUZA 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND @ THAI VILLAGE

DSC_0004
John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Sam Mapenzi.
It's Friday and its on #TGIF, Skylight friday, wadau na wapenzi wa muziki wa live na wa kiwango cha juu,wote tunakutana Thai village Masaki, jioni hii kwa burudani safii toka kwa wakali wa town vijana wa Skylight Band,
Karibuni sana tuanze weekend yetu na burudani ya muziki wa live#
Come and experience good music from our young talented singers #Aneth Kushaba #John music & #Ashura #Sony Masamba #Sam Mapenzi bila kumsahau baba lao Joniko Flower mkongwe kwenye burudani ya muziki wa Live...ni balaaaaa na si ya kukosaa..
See you there #goodmusic #goodpeople
DSC_0008
Sam Mapenzi katika hisia kali kuwapa raha mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita ndani ya uwanja wao wa nyumbani Thai Village-Masaki jijini Dar.
DSC_0014
I'm Going Koo Koo Koo, So Koo Koo Coz I, I, Love You,....(Aiyayaaaaa) I'm Going Koo Koo Koo, So Koo Koo Coz I, I Love You,.....(Aiyayaaaaa)..I'm Going Koo Koo Koo, So Koo Koo Coz I, I Love You, (Aiyayaaaaa),...I'm Going Koo Koo, Na Sijishuku I, I Love You......Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 (katikati) kwa kushirikiana na Sam Mapenzi akitoa burudani kwa mashabiki wao ndani ya kiota cha Thai Village, Ijumaa iliyopita huku Ashura Kitenge akipiga back vocal.
DSC_0019
Baby Take Me, Nitembee Nawe....... burudani ikiendelea.
DSC_0026
Ashura Kitenge (katikati) akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) huku Aneth Kushaba AK47 na John Music wakimpa sapoti ya back vocal.
DSC_0041
When Jesus say, "Yes," nobody can say, "No.".....When Jesus say, "Yes," nobody can say, "No.".... njoo umshuhudie Aneth Kushaba AK47 anavyoitendea haki hii nyimbo leo.
DSC_0042
DSC_0043
Ni kweli waliokuona Kariakooo...ukikumbatiwa na wavulana....Rapa mkongwe wa muziki wa Live Joniko Flower akiwachezesha gwaride waimbaji wenzake kutoka kulia ni Sam Mapenzi, Aneth Kushaba AK47 na Sony Masamba.
30
Mashabiki wa Skylight Band wakichizika na burudani kali iliyoenda shule yenye viwango na ubora wa kimataifa ndani ya kiota cha Thai Village ni kila Ijumaa ya wiki kuanzia saa tatu usiku mpaka usiku mwingi.
DSC_00891
DSC_0053
John Music akifanya yake jukwaani.
DSC_0024
Mpiga drum wa Skylight Band, James Kibosho jamaa ni balaaaa.
DSC_0062
Mratibu wa Skylight Band, Lubea akishow love na murembo ambaye ni shabiki wa ukweli wa Skylight Band.
DSC_0068
Mashabiki wa Skylight Band wakipata ukodak.
DSC_0073