Monday, July 11, 2011

LUDACRIS KUTUA BONGO SHOW YA FIESTA 2011

Mwaka huu ndani ya tamasha kubwa nchini Tanzania (Fiesta) linamdondosha mtu mzima kutoka marekani Ludacriss ambapo show itakua ndani ya viwanja vya leaders. Kauli mbiu ya 'Fiesta 2011 ni Habari zenyu bana! Haina majotro!!' stay tuned na your favourite station Clouds fm.

No comments:

Post a Comment