Sunday, November 27, 2011

BURUDANI YA ST8 MUZIK NDANI YA LEADERS 2011

Mwanamuziki wa hip hop toka nchini Marekani Fabolous akikamua kwenye tamasha hilo lililo hapen katika viwanja vya Leaders jijini Dar na kuhudhuriwa na bonge la nyomi

Fasi ya mbele na maburudanizzz.

Msanii wa Hip hop toka bongo land Jay Mo akikamua sanjari na mwana hip hop mwenzie Mchizi Mox

Ze nyomiz.

Simba mzee, Mfalme asiyevuliwa taji Selemani Msindi aka Afande Sele alikosha kisasawa mashabiki walo hudhuria tamasha hilo.

Masoja Long time kitambo wanaitwa Gangwe Mobb.

Flash ze nyomi.

C it again n again.
Picha zote na MICHUZIjr

No comments:

Post a Comment