Wednesday, July 25, 2012

THE GREAT LAKE ZONE ENTERTAINMENT YATEMBELEA KISS FM MWANZA

Pressenter wa Kiss Kolabo Mix Show Ezden 'The Rocker'  mbele akiwa na wageni wake toka The great lake zone entertainmen leo asubuhi pindi walipotembelea kuelezea harakati mbalimbali za kundi hilo linalojihusisha na vipaji mbalimbali Rock City.


Mkurugenzi wa The great lake zone entertainment Fabian Fanuel (kushoto) akiwa na Meneja wake Albert G. Sengo walipotembelea studio za Kiss Fm Mwanza kuelezea mikakati mbalimbali na michakato inayotaraji kujiri siku zijazo sekta ya burudani jijini Mwanza.


Mratibu kitengo cha sanaa za maigizo na uchekeshaji wa majukwaani toka kundi la The great lake zone entertainment Smith Swai akifafanua jambo. 


Mratibu wa masuala ya Modoz'  Nanji akifafanua jambo jinsi sekta hiyo itakavyoshirikishwa pande za kanda ya ziwa.


Time to show love kwa flash Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Fabian Fanuel, mratibu Nanji, The Rocker (mwenyeji wetu) na mratibu Smith Swai.


Kwa flash kutoka kushoto ni Nanji, The Rocker, G. Sengo na Smith.

No comments:

Post a Comment