Thursday, February 16, 2012

VALANTINE AT GOLD CREST HOTEL MWANZA

Promota Dj Ally Coco kutoka Coco Entertainment akikabidhi zawadi ya Tiketi ya ndege kwenda na kurudi kupitia shirika la ndege la Fly 540 kwa mshindi wa droo ya usiku wa Valentine.

Mtu mzima King Kikii alizikonga nyoyo za mashabiki wa muziki wake.

King Kikii alishirikiana na vijana wa Hill Way Band kumwaga burudani.

Ni wakati wa Kitambaa cheupe.

Meneja wa Gold Crest Hotel bi Elizabeth akitangaza washindi wawili aliojishindia zawadi ya kulala usiku mmoja hotelini hapo kupitia shindano la kucheza muziki.

Meza yetu kutoka kulia ni Wife, mie na shem Jackline.

Meza ya marafiki na dinner.

Mwanamuziki King Kikii, Dj Ally Coco na Meneja wa Gold Crest Hotel Bi. Elizabeth wakibadilishana mawazo.

No comments:

Post a Comment