Monday, April 9, 2012

TAMASHA LA PASAKA UWANJA WA TAIFA 2012

Upendo Kilahilo jukwaani.

Kundi la msanii John Lisu likitumbuiza live jukwaani.

Sehemu ya watu waliojitokeza kushuhudia Tamasha la Pasaka 2012,

Solomon Mukubwa na memba wake akiwapungia mkono wananchi.

Vinara wa muziki wa injili wakiingia eneo la tukio Uwanja wa Taifa huku wakitabasamu,kutumbuiza tamasha la pasaka 2012,kulia ni Christina Shusho, Upendo Kilahilo pamoja na Upendo Nkone wakiwa na watoto wao..

Msanii wa muziki wa injili, Rose Muhando wakati akiwasili Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kutumbuiza katika Tamasha la Pasaka la kwanza ambapo kesho shughuli nzima itaelekea katika mji wa Dodoma...

Cheza ndani ya Yesu...

Msanii wa Muziki wa Injili kutoka Afrika Kusini, Rebecca Malope (katikati), akiwa upande wa vyombo vya muziki kuweka mambo sawa muda mfupi kabla ya kupanda jukwaani.

Ni raha tele....

Furaha inapozidi huna budi kusimama kuimba na kucheza....

PICHA NA www.fullshangwe.blogspot.com

No comments:

Post a Comment