Tuesday, June 12, 2012

MAKAMUZI YA MACHOZI BAND NA BARNABA YALIVYOFANA ROCK CITY

Video ya mduara wa Machozi Band.



Langoni ilikuwa unakutana na CD original za Lady jay Dee na Machozi Band
 

Ze dadaz wakipata flash juu ya red carpet kabla ya kuingia ukumbini, katikati ni Rhoda John, Asha Kissy na mashost zao...
 
  Kutana na Blogger Allan Kisoi pale kati akipata flash na Antonio Nuggas, Barnaba na Hellen.
  
Machozi Band katika Stage la Gold Crest Manza.

 Mc wa shughuli usiku huo Albert G. Sengo toka Clouds Fm 88.1 Mwanza

 
Dance la Machozi Band likiendelea.
Mduara na mauno yamekolea anatunukishwa mtu kitu cha msimbazi.

Mikono kwenye pembejeo na zana maho kwenye kamera na Machozi Band.

Mwimbaji mwenye umri mdogo kuliko wote hatari kwenye stage Sam Machozi.

Sutumuka ya kwaitoZZZZzzz.com

Dance la kwaito.

Barnaba alichengua vilivyo.

Hadi ladiZ wanakiri kuwa Barnaba ni 'moTTo'

Nishakwambia kuwa Barnaba ni 'Motto' 

Mwanamuziki haitwi 'Mwanamuziki' bila kujua kutumia japo chombo kimoja wapo cha muziki.


Wageni toka mbali hawakukosa.

Kutoka kulia Anthonio Nuggaz wa Kambi popote, Captein Gadna G. Habbash, Ramma wa Villa Park na Albert G. Sengo

Zungusha zungusha....

PICHA LINAENDELEA...

No comments:

Post a Comment