Monday, November 4, 2013

BORN FIRE YA PILSNER LAGER KING OF BOLD CHUO CHA SAUT NOMA SANA...!!!

Fundo...agudu..agudu...!!
Roma Mkatoliki alikinukisha ile ile kwenye Tamasha la born fire chini chini ya Udhamini mnono wa Serengeti Breweries kupitia kinywaji chake cha Pilsner Lager King of Bold, tamasha likifanyika viwanja vya Raila Odinga chuo cha SAUT Nyegezi jijini Mwanza.
Burudani inapokolea....
Hisia za Roma.
Hip hop...!!!
Moo Music ni moja kati ya wakali wa Mwanza aliye wachengua Wanasaut kinoma noma.
Kassim Mganga naye alizuka ndani ya Tamasha la Born Fire lililonuia kuwakaribisha wanachuo mwaka wa kwanza wa vyuo mbalimbali nchini.
aaaaah saa mingi umepanda...!!!
Jambo Squard walifunika mbayaaa viwanja vya Raila Odinga Chuo cha SAUT jijini Mwanza. 
Jambo Squard wakilishambulia jukwaa pamoko.
"Ah kacha..kacha..kacha twanasa kumbukumbu"
"Mamong'o manjeree machalii ya R....aaah ... ah"
Ilichezeshwa droo kwa wanachuo walio shiriki kujiandikisha Member wa Born Fire mshindi akaibuka na ......
Huyu ndiye mshindi wetu akikabidhiwa zawadi yake na wadhamini Serengeti Breweries kupitia Pilsner Lager.
Eh bana si ndiyo hiiii......!!!
Chama choma zilikuwa za kutosha tena za ujazo imagine mshkaki mmoja mzito shilingi 500/= tu walichinga ng'ombe wawili.
Dj is doing his thing...!!
SAUT reprezenhe..'
Burudani ya wanavyuo na Hip hop.
Vipaji vya wanavyuona levo za 'udosini'
Mahaba ya kidosi.
Battle ya ma mc ambapo mwisho wa siku jamaa aliyesimama kulia ndiye aliyeibuka kuwa mshindi. 
The Nyomi ya SAUT na Born Fire Concert.
Kitu cha Pilsner.
Show love kwa blogu.
Hip hop thing.
The area.
Party dizain flani.
Born Fire hakuna baridah!
The crew ya Serengeti Breweries na wadau wake wakishuhudia moto mkubwa uliowashwa ukimaanisha kukaribisha wanachuo mwaka wa kwanza.
The Born Fire.

Sunday, November 3, 2013

KHADIJA KOPA NA ISHA MASHAUZI WALIVYO ITIFUA VILLA PARK

Isha Mashauzi akikisanukisha ndani ya Villa Park Mwanza katika usiku wa Taarabu Nani zaidi kati yake na Khadija Kopa.
Khadija Kopa akiimba na mashabiki wake katika usiku wa Taarab Nani zaidi kati yake na Isha Mashauzi.
Mzuka wa taarab...
Watu weeeeee......!!!
Hapa ilikuwa hatariii...Isha na Shabiki ake.
Mambo ya midundo...!
Khadija ni kwa hisia zaidi...
Shabiki wakituoka kumtunza ngawira...
'Ni Mpambano usio rasmi'

Khadija Omary Kopa akimzawadia  chupa ya kinywaji cha Zanzi mmoja kati ya mashabiki waliotinga Villa Park usiku wa Taarabu Nani zaidi. Wa kwanza Kulia ni Meneja wa Villa Park Mwanza 'Manager Ramma' 
Khadija Omary Kopa akimzawadia  chupa ya kinywaji cha Zanzi mmoja kati ya mashabiki waliotinga Villa Park usiku wa Taarabu, kushoto katika picha anaonekama Mc Mama Steve.
Isha Mashauzi akimzawadia  chupa ya kinywaji cha Zanzi mmoja kati ya mashabiki waliotinga Villa Park usiku wa Taarabu Nani zaidi. Zanzi ni Sehemu ya Wadhamini wakuu wa burudani hii.
Isha Mashauzi akimzawadia  chupa ya kinywaji cha Zanzi mmoja kati ya mashabiki waliotinga Villa Park usiku wa Taarabu Nani zaidi. Zanzi ni Sehemu ya Wadhamini wakuu wa burudani hii.
Mc Magoma akimwaga sera zake kwa wadau waliohudhuria Usiku wa Taarabu Villa Park Mwanza.
Ze colour ya nyomi iliyotinga hapa.
'Rusha roho usitupe .......'
Bob White mkali wa pamba za mabinti dunia nzima (L)  na prizenta wa Passion Fm Philbert Kabago, wakishow love kwa kamera ya G. Sengo Blog.
Mashauzi (L) na Mc Mama Steve (R)
Khadija Omar Kopa (L) na Blooger & Prizenta wa RFA Kijukuu  cha bibi....Haha-ha..
Kulia na kushoto ni Maticha wa masuala ya cat-wox na mitindo Mwanza wakiwa na mdau wao pale kati

"Niruke nisiruke....?"

Tuesday, October 22, 2013

REDD'S UNI-FASHION BASH JIJINI MWANZA ILIKUWA RAHA TUPU.

Full Ubunifu toka kwa wanavyuo washiriki.
Wowu...!!!
Kama mamtoni vile..!!
African thing...!! 
Kaba penati...!!
Wadau mbalimbali waliohudhuria Tamasha hilo wakifuatilia kwa umakini..
Burudani ilidondoshwa na Ngosha The Swagga Don Fid Q.
On the one and two alisimama DVJ Denis' wa Rock Bottom.
 Meneja wa Mauzo ya Rejareja wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda la Ziwa, Andrew Mbwambo (kulia) akikabidhi kitita cha Sh. Laki 5 kwa Mshindi wa Kwanza wa Mitindo kwenye Redd's Uni-Fashion Bash,Fahad Rajab (kutoka Chuo cha Mt. Augustine ya jijini Mwanza) baada ya kuwagaragaza wenzake, katika Tamasha lililofanyika kwenye Bustani ya Charcoal Ribs Beach Resort jijini,Mwanza.
Washindi wa Mitindo kwenye Redd's Uni-Fashion Bash, na mikwanja yao katika Tamasha lililofanyika kwenye Bustani ya Charcoal Ribs Beach Resort jijini, Mwanza.
Wadau mbalimbali waliohudhuria Tamasha hilo lililofanyika kwenye Bustani ya Charcoal Ribs Beach Resort jijini,Mwanza.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI