Friday, September 10, 2010

BAADA YA MIAKA 9 YA UJANE UPENDO NKONE KUOLEWA TENA MWEZI UJAO.

Muimbaji wa nyimbo za Injili(Gospel) Upendo Nkone (pichani) anatarajiwa kufunga ndoa tarehe 17 October 2010 na Mchungaji John Mbeyela ambaye pia ni mjane mwenye watoto watatu.Ndoa hiyo itafungwa katika kanisa la Naioth kwa Mchungaji Mwasota.

Kwa mujibu wa mtandao wa Strictly Gospel,ndoa hiyo inakuja baada ya miaka 9 ya kuwa mjane. Upendo Nkone tayari anazo albamu tatu kibindoni zikiwa ni Mungu Baba,Hapa Nilipo na Zipo Faida.

We wish them all the best.

Photo Courtesy of Waimbaji wa Muziki wa Injili Tanzania Photostream

No comments:

Post a Comment