Wednesday, May 30, 2012

MISS NYAMAGANA WATEMBELEA FURNITURE HOUSE

 Mwanadada Joyce Rewben wa Furniture House akiwaonyesha warembo wa miss Nyamagana bidhaa zinazouzwa ndani ya duka hilo lililopo ghorofa ya kwanza ndani ya Jengo la CCM mkoa wa Mwanza.

 Moja kati ya engo za furniture ndani ya duka hilo.

 Furniture House ambao ni moja kati ya wadhamini kinyang'anyiro cha miss Nyamagana 2012 kitakachofanyika ijumaa hii ndani ya Gold Crest Mwanza, pamoja na zawadi kutoka kwa wadhamini wengine, Furniture House itatoa zawadi ya sofa hili lenye thamani ya shilingi Milioni mbili na laki mbili kwa mrembo atakaye valishwa taji la Miss Nyamagana.

 Sofa at Furniture House.

 Warembo wakiwa wamesimama pamoja na wadau wa Furniture House ambao ni moja kati ya wadhamini wa Miss Nyamagana 2012. Walioketi ni Joyce Reuben (L) na Timilo Mohamed (R).
Mtangazaji wa Star Tv Abdalah Tilata (L) akiwa na Cameraman Baraka Samson wakiperuzi kwaliti' za view walizochukuwa eneo la tukio.
 Didi-daaaah..!

 Dush-waaa...!

 Zawadi nyingine toka TBL na STOPER ENTERTAINMENT kwa washindi wa Miss Nyamagana 2012 ni kama ifuatavyo mshindi wa tatu shilingi laki 2, mshindi wa pili lshilingi laki 3, wa kwanza ni shilingi laki 5 sambamba na Sofa kutoka Furniture House, mshindi wa nne hadi wa kumi kifutajasho cha shilingi 50,000/= kila mmoja na zawadi nyingine kibao toka kwenye category mbalimbali.

No comments:

Post a Comment