Monday, May 28, 2012

STELLA AGUSTINO NDIYE MISS ILEMELA 2012-2013

Mshindi wa taji la miss Ilemela 2012 Stella Agustino (katikati) akiwa na mshindi wa pili Hapiness (kushoto) na mshindi wa tatu

Majaji miss Ilemela 2012.
Wadau katika pozi kushuhudia tukio...

Warembo walioingia kumi bora miss Ilemela 2012.
Sharowbarow President Bob junior akimalizaaaaa...
Flash na sehemu ya Gold Crest Hotel.

Mshiriki namba moja.

Mshiriki namba 2.

Mshiriki namba 3.

Mshiriki namba 9.

Mshiriki namba 4.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya toka jijini Mwanza Dogo Baraka ni sehemu ya burudani iliyowakonga wengi waliofika kushuhudia miss Ilemela akitunukiwa taji usiku wa tarehe 25/05/2012

Pichani huyu si mshiriki miss Ilemela 2012 bali ni sehemu ya Onyesho la mavazi ya Harusi toka Munira Classic.

Wadau wakichukuwa matukio.com hapa ni mwendo wa face book.

Onesho la mavazi ya harusi toka duka la mavazi ya harusi na sendof na urembo Munira Classic.

Mbunifu wa mavazi Munira akitambulishwa mbele ya umma uliojitokeza.

Mc wa tukio Mr. G. Sengo toka Clouds Fm Mwanza.




Meza ya majaji chini ikitafakari muonekano wa kwanza kupitia open show ya Miss Ilemela 2012.

Ze pipooo.

Wadadaz wakipata flash kwa blog....

Ni moja kati ya burudani zilizokuwepo kwenye kinyang'anyiro cha kumsaka miss Ilemela 2012 anaitwa Anna kutoka nchini Namibia akicheza Belly Dance.





Hapa Chief Judge Muhksin Mambo toka Star Tv (nyuma ya mshiriki no 7) alipokuwa akitaja kumi bora.

Ze flawaz..

Kipaji toka moyoni mshiriki wa kinyang'anyiro miss Ilemela Stela akionyesha kipaji cha kucheza wimbo wa Fally Ipupa - Bakanja.

Mshiriki wa kinyang'anyiro cha Miss Ilemela  Hapiness akichora ndani ya kuonyesha vipaji.

Kipaji toka moyoni mshiriki Zaifath kipaji cha kuimba.

Afisa Promosheni wa Nyanza Bottling Co. LTD watengenezaji wa soda jamii ya Coca cola Mr.Rutta, akimkabidhi mshindi nafsi ya 3 cheki ya shilingi laki mbili.

Afisa Promosheni wa Nyanza Bottling Co. LTD watengenezaji wa soda jamii ya Coca cola Mr.Rutta, akimkabidhi mshindi wa nafsi ya pili Hapiness, cheki ya shilingi laki tatu.
Afisa Promosheni wa Nyanza Bottling Co. LTD watengenezaji wa soda jamii ya Coca cola Mr.Rutta, akimkabidhi Miss Ilemela 2012 Stella Agustino, cheki ya shilingi laki tano.

Tuesday, May 22, 2012

BOB JUNIOR KUPAMBA MISS ILEMELA 25/05/2012 IJUMAA GOLD CREST HOTEL ILE MWaaa!!!



Producer Mkali, Rais wa wasafi mwenye kipaji cha uanamitindo, mwenye mvuto kwa mabinti, mwimbaji mwenye uwezo wa kuichezea sauti yake atakavyo, msanii ambaye tangu kuzaliwa kwake hajawahi kutengeneza video mbovu, msanii mwenye vipaji vingi kuliko wote, Rais wa Masharobaro Bob Junior ndiye atakaye tumbuiza katika Miss Ilemela 2012 .

Miss Ilemela itafanyika Ijumaa hii ya tarehe 25/05/2012 katika ukumbi wa Gold Crest jijini Mwanza. Kiingilio Miss Ilemela 2012 ni shilingi 20,000/= vitikawaida na VIP ambako kutakuwa na sapraiz kibao ni shilingi 40,000/= tu...
Akizungumzia juu ya sifa za wanyange wa Miss Ilemela mratibu wa kinyang'anyiri hicho Bi Ester Morris amesema kuwa warembo wa safari hii wanamvuto na sifa za kuwania taji loloteulimwenguni kwani ilifika wakati aliamua kubadilisha kambi na kutobainisha wapi ameweka kambi rasmi kwa warembowake kwa nia ya kuepuka usumbufu wa kutembelewa mara kwa mara na wadau wasiopitwa na vyenye mvuto.

Sambamba na burudani ya Bob Junior kinyang'anyiro hicho kitapambwa na onyesho la mavazi ya harusi, ufukweni, ofisini na mitoko mbalimbali yakionyeshwa na wadau spesheli. Wadhamini wa miss Ilemela mwaka 2012 ni Sahara Communication, Gold Crest Hotel, Lakairo Investment, Nyanza Bottling Co. LTD, Star Max Electronics, Dunia ya warembo na  G. Sengo Blog.

Thursday, May 17, 2012

PATRICK MAFISANGO OF SIMBA SC IS DEAD

Marehemu Patrick Mafisango (kwenye kiduara) katika picha ya pamoja na kikosi cha Simba enzi za uhai wake.
Mchezaji wa Simba na timu ya Taifa ya Rwanda kiungo mkabaji Patrick Mafisango amefariki dunia kwa ajali ya gari leo alfajiri katika eneo la Tazara jijini Dar es salaam.
Hili ndilo Gari alilopatanalo ajali marehemu Patrick Mafisango maeneo ya TAZARA jijini Dar.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Simba bwana Aden Rage amesema kuwa taarifa za awali juu ya chanzo cha kifo cha mchezaji huyo zinasema kuwa mchezaji huyo amekutwa na mauti akiwa anaendesha gari na kujaribu kumkwepa mwendesha pikipiki.

Msiba huu unakuja wakati kocha wa timu ya Taifa ya Rwanda Milutin Sredovic 'Micho' akiwa amemteuwa kepteni wa zamani wa timu hiyo Hamada Ndikumana a.k.a 'Katauti' na Patrick Mafisango kujiunga na timu ya taifa hilo (AMAVUBI) kwaajili ya maandalizi ya nchi zitakazofuzu kwenda Brazil kwenye michuano ya Kombe la dunia 2014.

Kabla ya  kuichezea Simba mchezaji huyo alitokea Azam Fc ya jijini Dar es salaam.
Patrick Mafisango is dead.
Mwenyezi Mungu ilaze mahali pema peponi roho ya marehemu Patrick Mafisango.

Saturday, May 12, 2012

HONDA YAJISIMIKA KIBIASHARA ROCK CITY

Mkuu wa wilaya Nyamagana Said Amanzi akizindua tawi jipya la Kampuni ya Quality Motors Limited mkoani Mwanza, kampuni inayo jihusisha na usambazaji na uuzaji wa pikipiki, majenereta, na vifaa mbalimbali vya kampuni ya Honda nchini Tanzania.

Mkuu wa wilaya Nyamagana Said Amanzi akijaribu ubora wa moja kati ya mali zilizopo kwenye tawi hilo jipya huku akishuhudiwa na wadau wa karibu wa kampuni hiyo.

Ufunguzi wa tawi hilo utakuwa na manufaa mengi kwa wakazi wa kanda ya ziwa kwani wataondokana na adha ya nishati ya umeme ambayo imekuwa kikwazo kikubwa katika utendaji kazi wao wa kila siku hali inayosababisha kuingia katika gharama za ziada zinazokwamisha maendeleo kutokana na kipato chao duni, ikumbukwe kuwa wakazi wengi hususani wa visiwani hutumia majenereta kama chanzo cha nishati ya umeme kwa viwanda vya usagaji na ukoboaji nafaka, umeme wa majumbani maduka ya kuchaji simu, karakana za uchoeleaji na kadhalika.
Uzinduzi wa tawi hilo umekuja wakati muafaka ambapo usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda ukiendelea kuwa tegemeo kwa wakazi wengi wa mikoa ya kanda ya ziwa kutokana na tozo nafuu la nauli, hali inayo wafanya wananchi wengi kuufanya usafiri huo kuwa kimbilio lao

Mteja wa kwanza katika duka la Honda Mwanza bw. Vicent Hariah kutoka kampuni ya African Wheels and Tyres LTD akikabidhiwa pikipiki yake mara baada ya kuinunua.

Wateja wakipata maelezo toka kwa wahudumu na wadau wa Tawi la Honda Mwanza lililopo katika barabara ya Kenyeta karibu na tawi la Benki ya Posta.
Honda 'Best quality at Chinese price'

Honda at Quality Motors, Nyerere road Mwanza.

Sudhir Bargaonkar ni meneja masoko wa Kampuni ya Quality Motors Limited akimtembeza mgeni rasmi kwenye karakana ya tawi hilo jipya lililozinduliwa.

Wakitoka kwenye karakana ambapo pia katika duka hili spea mbalimbali za Honda iwe ni jenereta au pikipiki zitauzwa.

Picha ya kumbukumku... Hadi kufikia mwezi march 2012 halmashauri ya jiji la Mwanza ilikuwa na madereva wa pikipiki za biashara zaidi ya 6,000 wanaotambulika nao wamekuwa wakiongezeka siku baada ya siku.

OBAMA ABARIKI NDOA ZA JINSIA MOJA

video platform video management video solutions video player Rais Barack Obama amesema kwamba watu wa jinsia moja wawe na haki ya kuoana.
 
Bwana Obama amesema daima amekuwa mgumu kukubali kwamba wanaume na wanawake wenye uhusiano wa mapenzi ya jinsia moja nchini Marekani watendewe haki na jamii kwa kutambua uhusiano huo, lakini amekuwa akipitia kile anachokiita mabadiliko ya kimtazamo kuhusu suala la ndoa za jinsia moja.

Kwa kauli hii Obama anakuwa rais wa kwanza wa Marekani kuunga mkono ndoa za jinsia moja, suala ambalo limeleta mgawanyiko miongoni mwa raia wa Marekani. Kumekuwa na maoni tofauti miongoni mwa Wamarekani kuhusu kuunga mkono ndoa za aina hii.

Rais Obama anasema amejadili suala hilo na familia, marafiki na majirani kwa muda mrefu na kutilia maanani wafanyakazi wenzake na askari ambao wamejikita katika uhusiano wa mapenzi ya jinsia moja.

Hatimaye amekuja na hitimisho kwamba ndoa zilizozoeleka hazikidhi matarajio ya wote.

Ni moja kati ya ndoa za mashoga iliyofungwa Jumamosi ya Oktoba 17, mwaka huu, kati ya Bw Daniel Chege Gichia (39) na Charles Ngengi (40), jijini London
Mpinzani wake katika uchaguzi wa rais wa mwaka huu, Mitt Romney, wa chama cha Republican amesema bado anabakia kupinga ndoa za watu wa jinsia moja.


Amesema wakati akiunga mkono ndoa ambazo hazijatambuliwa kisheria, kwa maoni yake, suala la ndoa za kawaida ni jambo lingine tofauti na hizo ndoa za jinsia moja.

Kauli ya Bwana Obama, imekuja siku moja baada ya jimbo la North Carolina kupitisha mabadiliko ya katiba ya jimbo hilo, yanayofafanua kuwa ndoa ni muungano tu kati ya mwanaume na mwanamke.

Saturday, May 5, 2012

MEDIA NIGHT GALA AT MWANZA HOTEL

Mwenyekiti wa Kamati ya maadili ya baraza la habari Tanzania (MCT)Jaji Robert Mihayo akionyesha kitabu kilichozinduliwa usiku wa jana, kiitwacho State of the media report 2011, mbele ya waandishi wa habari hawapo pichani huku akishuhudiwa na mgeni rasmi mh.mkuu wa mkoa wa Mwanza Eng. Evarist Ndikilo (L) na Rais wa UTPC Abubakar Karsan (R) katika hafla hiyo iliyofanyika Mwanza hotel ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari nchini.

Mwenyekiti wa Kamati ya maadili ya baraza la habari Tanzania (MCT)Jaji Robert Mihayo akimkabidhi nakala ya kwanza mgeni rasmi mh.mkuu wa mkoa wa Mwanza Eng. Evarist Ndikilo. 

Kisha neno la shukurani.. 

Ndipo Burudani ikafuata... 
Wanahabari wakipata flash kwenye mtoko huo.. 

Hapa ilikuwa mwanzo kabisa kabla hazija kolea mkichwa ili watu washushe matirio.. 

Blogger maarufu wa HOSANNAINC akigonga chiaz na mgeni rasmi. 

Yakafuata mambo yetu ya mboga saba kujisevia.. 

Drafti likiendelea kuchezeka kimya kimya...

Meza yetu na mapilipili mwaaaa... 

Meza zilichafuka balaaaaa... 

Meza iliyotishaaa "Muraaa...! Reta hapa.. bhana" 

Misosiso.. 

Wadau wakiendelea kujinafasi kwa nafasi bila tafash... 

Huyu hapa mshereheshaji wa sherehe hiyo iliyofana Mc Chonya. 

Ikafika zamu ya kuonyesha vipaji on the stage akapanda braza Alan Mlawa hakika aliutendea vyema wimbo wa Rangi ya chungwa akisaidiana na wanamuziki wa Jambo Stars band. 

Mpiga gitaa la bass akifanya mikuno. 

Dance lililofana usiku huo.. 

Ni maraha mwanzo mwisho.. 

Aaaah nami si nikageuka Samba Mapangala wafanya mchezo.. 'Dunia tunapita..eEEEee'

Wadau wa ukweli wakiongozwa na Alan Kisoi pale kati wakisutumukazzZZ.. 

Aaaaah Victaaaaaaa... 

Chungulia imo-MO. 

Kutoka kushoto ni Henry Mabumo, Albert G. Sengo na Jerome 'Kamanda' 

KonazzzZZZ.. 

Mwisho wa siku bendi nzima ikashikwa na waandishi wa habari... watu wewe.