Thursday, June 9, 2011

THUG LOVING!

Rapa ja rule hatimaye amejisalimisha mwenyewe mahakamani huko manhattan na ataanza rasmi kutumikia kifungo cha miaka miwili jela akikabiliwa na mashtaka ya kukutwa na silaha aina ya bastola. Kabla hajaingia kortini ja alionekana akisaini autographs za mashabiki wake nje ya mahakama huku akiwaaga"see you in 18," akaongeza na neno"one love",akapigwa pingu huku akiiangalia familia yake akiwemo mama yake,mke wake aitwaye Aisha ambao wote walikuwa wakilia kwa huzuni,kwa pamoja wakamwambia"LOVE YOU".Bongoshega inasema"tutakukumbuka ja rule coz ulikuja bongo na ukatupa burudani ya ukweli".WE'LL BE MISSING U NEGRO!

No comments:

Post a Comment