Tuesday, June 28, 2011

VINJARI ZA MSIMU WA DHAHABU JIJI LA SANGARA

"Kwa faida ya wale wasio na kawaida ya kumgeuza samaki kutokana na mila zao walizojiwekea agiza samaki mbili namna hii, kisha kula ile pande iliyo juu ya samaki w0te - Of coz utakuwa umekula samaki kamili,BASSSi!" Says Adam Mchomvu aka Baba Jonii

Nguli wa muziki wa Ragga na Dancehall Shaggy ameondoka leo jijini Mwanza majira ya saa 6 kuelekea Dar es salaam ambapo atapanda pipa jingine kurudi kwao.

Awali alitembelea vivutio vya utalii vilivyoko jijini Mwanza kama vile Bismark Rock, sehemu za biashara kuu ya zao la samaki, hifadhi ya makumbusho ya tamaduni za wasukuma iliyopo Bujora na halikadhalika sehemu zote za vivutio mwambao wa ziwa victoria.

Amesifia mazingira mazuri ya jiji la Mwanza, makaribisho aliyopata toka kwa waandaaji Prime Times Promotion na mashabiki wa Mwanza.

Mie na best female vocalist wa bendi ya Shaggy aitwaye Aisha

CEO wa blogu hii na Shaggy

No comments:

Post a Comment