Tuesday, June 14, 2011

'SERENGETI FIESTA 2011 MWANZA NDIYO KWANZA'

Shaggy.

MBONA tayari imekwisha tambulikaaaa kwambaaaa.... Serengeti Fiesta 2011 'Mwanza ndiyo kwanza'. Nina maaanisha kuwa wakazi wa Mwanza ndiyo wamekabidhiwa funguo za Show za 'kufufuka mtu' za msimu wa Dhahabu na Serengeti Fiesta.

Dhamana hii haijaja hivi hivi mwanawane' bali ni kutokana na utashi, mapenzi mema na makaribisho yenye thamani ya hali ya juu wayatoayo wakazi wa Rock City na Wilaya zake kwenye matukio ya Fiesta miaka yote....

Wakazi wa Mwanza husapoti muziki ladha zote, lakini jiulize ni muziki gani ulianza kushika kwa kasi na kukubalika hata leo na kuwarusha wengi!!!?
Wataalamu wa mambo watakwambia.. Ni Ragga, Dancehall na Reggae (ingawa reggae kilimanjaro grafu zinasoma juu kinoma) Tehe!! Lakini ukizungumzia Dancehall na Ragga->Mwanza ni Nowmaaaa!!!

SASA ANAKUJA MKALI WA RAGGA & DANCEHALL
Mr. Lover-lover/Mr. Romantic & Fantastic true jamacian rasta ilve ur music 'Shaggy' anatua Mwanza, siku ya Tukio ikiwa ni JUMAPILI ya tarehe 26juni2011 katika Uwanja wa CCM Kirumba uliopo wilaya ya Ilemela jijini Mwanza.



It's nice and cool man, Shaggy Welcome to Mwanza!!..........
Coz Mwanza Haina Majotrooo!!,
@ g.sengo

No comments:

Post a Comment